Mifumuko ya bei na gharama zote za maisha kwa Mtanzania, ambapo mzigo unakuwa mkubwa huku ukiongezewa na ku fail kwa systems zote za serikali na panakuwa hakuna pakukimbilia wala msaada na mwanamchi anajikuta anakata tamaa na anateseka tu. We ongezea zigo lingine tu na kama mnataka hata dunia yote mwaweza kuiingiza ktk mkokoteni huu mie sijali sijui mnaita DOWANS sijui haya twende!! nilisha kata tamaa! lol!