Ndibalema ni kweli vita inamatokeo hayo lakini hii vita ni kwa faida ya nani? Ilikuwa ni lazima kwa huyu kijana kupoteza viungo vyake kwa vita ambayo haina maana kwao.
kuna kile kitabu kilikuwa kinatumia o-level cha fasihi kuhusu vita vya kagera.................jamaa kardi vitani uso hautazamiki mpenzi wake wa zamani akamkimbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.