Picha hii inasikitisha sana

But George W. Bush and friends are busy filling their bank accounts with Iraq oil money. This guy and others were just cannon fodder.
 
Oh! My God.
Lakini ndio vita ilivyo either ufe, upone au uwe mlemavu kama huyo askari.
 
Ndibalema ni kweli vita inamatokeo hayo lakini hii vita ni kwa faida ya nani? Ilikuwa ni lazima kwa huyu kijana kupoteza viungo vyake kwa vita ambayo haina maana kwao.
 
kuna kile kitabu kilikuwa kinatumia o-level cha fasihi kuhusu vita vya kagera.................jamaa kardi vitani uso hautazamiki mpenzi wake wa zamani akamkimbia
 
huyu kaenda kwa hiari yake, wanaosikitisha ni wale innocent Iraqi's who are invaded, bombed and killed every day
 
Mh! Sasa mdada alijizoelez jamaa mwenyewe anagusa maeneo na mikono soft sasa anakutana na mavyuma hayo. Sio siri ni ngumu sana kuipokea hiyo..
 
dah!

inaonekana wamekata mikono kuanzia juu karibu na bega.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…