JK anajaribu kudadisi kwa nini Karume hayupo kwenye Jezi za chama kama wenzake wakati yeye ndo Kiongozi wa Juu kabisa wa Chama na Serikali kule Zanzibar???...Karume anamjibu, ati mbona Ben ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa hajavaa Jezi kama Mzee Ruksa???
Ben hajapendezwa na hilo jibu...kaonyesha hamaki...na kuguna,...Yusufu kama kawaida yake anaropoka "ebu jifunze majibu mathuri kwa nkubwa wewe!"...Pius anajisikia vibaya na kuangalia pembeni akiwaza "kumbe ndo mana huwa hutaki kuuzulia vikao vya chama???""..na sijui muafaka ule wa CCM na CUF kule kwenu unaoung'an'gania matokeo yake ni nini kwenye muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano!"..