Pre GE2025 Picha: Hii ndiyo Kamati Kuu ya CHADEMA. Kikao kinaendelea

Pre GE2025 Picha: Hii ndiyo Kamati Kuu ya CHADEMA. Kikao kinaendelea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Matukio katika picha wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam.

Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu. Kikao hiki kinafanyikia Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam

Hatimaye Ezekiah Wenje katia timu. Mambo ya kususa susa yameisha.

IMG-20250311-WA0246.jpg
IMG-20250311-WA0261.jpg
IMG-20250311-WA0260.jpg
IMG-20250311-WA0259.jpg
IMG-20250311-WA0258.jpg
IMG-20250311-WA0257.jpg
IMG-20250311-WA0251.jpg
IMG-20250311-WA0250.jpg
IMG-20250311-WA0247.jpg
IMG-20250311-WA0238.jpg
IMG-20250311-WA0239.jpg
IMG-20250311-WA0240.jpg
IMG-20250311-WA0242.jpg
IMG-20250311-WA0244.jpg
IMG-20250311-WA0245.jpg
IMG-20250311-WA0237.jpg
IMG-20250311-WA0235.jpg
IMG-20250311-WA0233.jpg
IMG-20250311-WA0231.jpg
IMG-20250311-WA0230.jpg
IMG-20250311-WA0229.jpg
IMG-20250311-WA0228.jpg
IMG-20250311-WA0227.jpg
IMG-20250311-WA0226.jpg
IMG-20250310-WA0177.jpg
IMG-20250310-WA0175.jpg
IMG-20250311-WA0256.jpg
IMG-20250311-WA0252.jpg
IMG-20250311-WA0254.jpg
IMG-20250311-WA0249.jpg
 
Kikao cha kulipana posho tu za ruzuku, hakuna cha maana wanachojadili
 
Filters zimekuwa nyingi sana.

Ona wanavyofanana sasa kama wamepaka mikorogo.

Hata hivyo WaCCM wakiona hizi wanavurugika mukichwa.
 
Tuna imani kubwa na Chadema, kwa sasa ndio tegemeo letu Watanzania wote. Mungu awabariki sana viongozi wetu Makini.
 
Back
Top Bottom