M Msharika JF-Expert Member Joined May 15, 2009 Posts 947 Reaction score 70 Oct 5, 2010 #1 Tafadhali tazama hiyo picha kwa makini, sura zao na kadi iliyopo hapo chini tazama vizuri , kisha wanajiandaaa kufaulu. Yangu macho
Tafadhali tazama hiyo picha kwa makini, sura zao na kadi iliyopo hapo chini tazama vizuri , kisha wanajiandaaa kufaulu. Yangu macho
hashycool JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 6,555 Reaction score 2,837 Oct 5, 2010 #2 hicho kimkoba lazima wamepewa na FATAKI
LoyalTzCitizen JF-Expert Member Joined Sep 15, 2010 Posts 2,241 Reaction score 940 Oct 5, 2010 #3 Hehehehe Kaaaazi kweli kweli!:decision:
payuka JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 829 Reaction score 127 Oct 5, 2010 #4 Kama ni kweli Wasubirie Kutafunwa na FATAKI kwa zamu! Lakini isije ikawa wametoka kwenye graduation ceremony wanaangalia zawadi zao, sababu najiuliza mpiga picha alikuwa wapi? na kwa nini hwakushtukia wakati jamaa anawapiga picha? Kwangu haingii akilini kabisa!
Kama ni kweli Wasubirie Kutafunwa na FATAKI kwa zamu! Lakini isije ikawa wametoka kwenye graduation ceremony wanaangalia zawadi zao, sababu najiuliza mpiga picha alikuwa wapi? na kwa nini hwakushtukia wakati jamaa anawapiga picha? Kwangu haingii akilini kabisa!
Ambassador JF-Expert Member Joined Jun 2, 2008 Posts 933 Reaction score 75 Oct 5, 2010 #5 Msiwakatishe tamaa wenzenu! Hapa wanapasha nyepesi nyepesi tayari kwa kuchukua point zote tatu!
Ntemi Kazwile JF-Expert Member Joined May 14, 2010 Posts 2,182 Reaction score 308 Oct 5, 2010 #6 Huyu aliyeangalia huku mbona kama waziri mkuu mtarajiwa vile, au macho yangu?
SILENT WHISPER JF-Expert Member Joined Jun 26, 2009 Posts 2,209 Reaction score 822 Oct 5, 2010 #7 MABINTI HUWA WANANIFURAHISHA SAAAANA KWA USAFI.....! angalia vumbi ..lakini soksi safiiiiiiiiiiii....! I HOPE NA CHUPI PIA NI SAFI..! HONGERENI KWA HILO..!
MABINTI HUWA WANANIFURAHISHA SAAAANA KWA USAFI.....! angalia vumbi ..lakini soksi safiiiiiiiiiiii....! I HOPE NA CHUPI PIA NI SAFI..! HONGERENI KWA HILO..!
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 5, 2010 #8 Viti maalum na ma-DC watarajiwa hao! Hivi hawana study rooms au library mpaka waende shambani?
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 5, 2010 #9 Msharika said: Tafadhali tazama hiyo picha kwa makini, sura zao na kadi iliyopo hapo chini tazama vizuri , kisha wanajiandaaa kufaulu. Yangu macho View attachment 14680 Click to expand... Huyo wa kwanza kushoto zero ni halali yake kwani hapo anasubiri bwana au majibu fake!
Msharika said: Tafadhali tazama hiyo picha kwa makini, sura zao na kadi iliyopo hapo chini tazama vizuri , kisha wanajiandaaa kufaulu. Yangu macho View attachment 14680 Click to expand... Huyo wa kwanza kushoto zero ni halali yake kwani hapo anasubiri bwana au majibu fake!
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Joined Jan 10, 2009 Posts 5,471 Reaction score 752 Oct 5, 2010 #10 SILENT WHISPER said: MABINTI HUWA WANANIFURAHISHA SAAAANA KWA USAFI.....! angalia vumbi ..lakini soksi safiiiiiiiiiiii....! I HOPE NA CHUPI PIA NI SAFI..! HONGERENI KWA HILO..! Click to expand... Wewe SW wewe post zako bwana huwa zinanichekesha saaaana
SILENT WHISPER said: MABINTI HUWA WANANIFURAHISHA SAAAANA KWA USAFI.....! angalia vumbi ..lakini soksi safiiiiiiiiiiii....! I HOPE NA CHUPI PIA NI SAFI..! HONGERENI KWA HILO..! Click to expand... Wewe SW wewe post zako bwana huwa zinanichekesha saaaana