PICHA: Hili jengo linalojengwa Kariakoo kwa PPP ni balaa ni zaidi ya Mlimani City unaambiwa Serikali itajizolea zaidi ya TZS 2.5bn kila mwaka

Nchi kama hii yenye uchumi wa 49T, kujivunia 2.5 b ni kichwkesho. Hapo kuna watu tu wanajikomba kuonekana wamefanya kazi. Halafu huo mradi si serikali anaejenga, ni wekezaji, ukute yeye anapata 25b kwa mwaka!
Kafulila yeye ni dalali. (3rd part/middle man)
 
Hongera sana Mama SAMIA
 
Mradi wa PPP
 
Safi sana Mama Samia
 
Mimi ninatofautiana nao. Kama ujenzi ni wa ghorofa hawatapata wateja hizo fedha wanazizika. Chukua mfano wa machinga complex iliyojengwa ghorofa pale Ilala. Wateja wameikimbia na Jiji linadaiwa fedha nyingi ya mkopo kutokana na jengo hilo. Mfanyabiashara gani aende aweke biashara yake orofa ya 10. Mteja gani atapanda huko labda kama ujenzi ni kwa ajili ya maofisi.
 
SAMIA mwamba sana aisee!!
 
Subiri tuone itakavyokuwa ila naamini walishafanya reseach
 
Shopping Mall kuwa na ghorofa 10 kwenda juu imekula kwao, hakuna mahali zimefanikiwa. Zinatakiwa ziwe na ghorofa moja tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…