Picha-Hivi hawa waandishi kuonjeshwa bia si ni aibu?

Ndo bahasha hizo ukisikia
 
Sidhani kama ni aibu. Its all part of the learning experience. Kwani wangetembelea shamba la mitamba wakaachiwa wakamue maziwa nayo ingekuwa bahasha?
 
Habari zao basi wakitoka hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…