PICHA: Hivyo ndivyo watoto wa yule mzazi uliyemuumiza walibaki

PICHA: Hivyo ndivyo watoto wa yule mzazi uliyemuumiza walibaki

TWELVE12

Senior Member
Joined
Jun 5, 2024
Posts
135
Reaction score
133
IMG-20240610-WA0028.jpg

Kwenye hii dunia ukipata nafasi ya kumuhukumu binadamu mwenzako kamwe usimwone yeye peke yake kuna wengine wengi wanaomtegemea usio wajua wako nyuma ya maisha yake.

#TAKARI KABLA YA KUMDHURU MWINGINE KWA LOLOTE.
 
Vipi kwenye kulipiza kisasi? Kwamba yeye kataka kuniua nikapona kiajabu ajabu, leo nikitaka kumlipizia ndiyo nikumbuke kuwa ana watu wanaomtegemea? Mimi sikuwa na watu walionitegemea wakati anataka kunidhuru?

IMG-20240608-WA0028(1).jpg
 
View attachment 3013474
Kwenye hii dunia ukipata nafasi ya kumuhukumu binadamu mwenzako kamwe usimwone yeye peke yake kuna wengine wengi wanaomtegemea usio wajua wako nyuma ya maisha yake.

#TAKARI KABLA YA KUMDHURU MWINGINE KWA LOLOTE.
Mkwe anamtoa kafara mwanaye, anabaki mjukuu na mume, anapora mtoto anabaki mgane peke yake, anateeka, anapoteza dira!
 
Promotion

Hata hivyo picha inaibua maswali mengi.

Huyo mpiga picha alitaimu vipi?

Ndio wamekufa, lakini mhh videge vyote shingo zimewasimama hivyo?🤔

=========
Ujumbe waweza kuwa mzuri lakini so kwa hadaa hizi za picha, na hiyo ni maoni yangu tu. Nachelea kusema ni AI Generated.

Promotion zingine bana.

Karibu kivile tena JF
 
H
Vipi kwenye kulipiza kisasi? Kwamba yeye kataka kuniua nikapona kiajabu ajabu, leo nikitaka kumlipizia ndiyo nikumbuke kuwa ana watu wanaomtegemea? Mimi sikuwa na watu walionitegemea wakati anataka kunidhuru?

View attachment 3013478
Hii inatokea kwetu ama hata kwa waarabu na wazungu kwa madhira waliyotufanyia. Mbona hayajawarudia wao mkuu na bado wanazidi kutuibia.
Mtu anachukua bandari anakuwa dalali anatafuta tajiri anakuja kuwekeza naye
 
Promotion

Hata hivyo picha inaibua maswali mengi.

Huyo mpiga picha alitaimu vipi?

Ndio wamekufa, lakini mhh videge vyote shingo zimewasimama hivyo?🤔

=========
Ujumbe waweza kuwa mzuri lakini so kwa hadaa hizi za picha, na hiyo ni maoni yangu tu. Nachelea kusema ni AI Generated.

Promotion zingine bana.

Karibu kivile tena JF
GT @ work!

Hata mimi huwa nakereka na maudhui yaliyolazimishwa; na huu mara nyingi ndiyo huwa chanzo changu cha ugomvi wa mara kwa mara na motivesheno spikazi. 😁
 
Hii picha waione wenye magari maana wao kuwagonga bodaboda wamegeuza kuwa kitu Cha fahari 😥😥😥 inasikitisha sana
 
GT Work....

Hata mimi huwa nakereka na maudhui yaliyolazimishwa; na huu mara nyingi ndiyo huwa chanzo changu cha ugomvi wa mara kwa mara na motivesheno spikazi. 😁
😅😅
Subiri muda kidogo tu. Inayofuatia ni ya kuomba ushauri, halafu paap kitu na boksi
 
Back
Top Bottom