Picha: Hospitali ya Rufaa ya Chato iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Filipe Nyusi. Kuhudumia takriban watu milioni 18 mikoa ya Kanda ya Ziwa

Huyu Msukuma kaiua Mtwara kwenye Bandari yenye kina kirefu,Gesi asalia na Korosho anaikuza Chato ambako hakuna shughuli yoyote muhimu ya kiuchumi.

Any way kila zama na kitabu chako lakini kitabu cha Mtwara na Lindi kimefunikwa kwa muda tu akitoka huyu Msukuma Mtwara itarudi kwenye kasi ya maendeleo.
 

Nani wa kuifufua Mtwara? Sijui nimewaza nini tu! Enwei kuchele.
 
Ya kanda ya ziwa!

Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Kagera na Mara

Lakini hata Tabora na Kigoma wanakaribishwa!

Hivi kusini wana Hospitali kubwa ama ya Rufaa yoyote yaani Ruvuma, Lindi, Mtwara pamoja na maeneo ya nyanda za kusini. Maana sijawahi kusikia na kama haipo si ingekuwa vyema nao wakapatiwa
 
Ziko Peramiho mkoani Ruvuma na Ndanda mkoani Mtwara!
hiyo peramiho na ndanda zote ni hospitali za mission, zina huduma nzuri ila hazina capacity ya kuhudumia hii mikoa

kwanza kama peramiho ipo mbali hata na mji wa songea wenyewe kiasi hata ikiongezewa capacity bado italeta usumbufu kwa waty
 
Nyerere anaumia sana kaburini.

Hawezi kutuambia anaumia kaburini wakati YEYE ndie alitengeneza imperial presidency and rubber stamp parliament.

Bunge butu liliasisiwa na Mwalimu. Akiamua kitu usiku asubuhi anampa Kawawa ki note apeleke kwa mguu across Lithuli Street to Karimjee offices of Sapi Mkwawa and Pius Msekwa to ram it through parliament into law.

And we have been too wimpy to change any cockamamie systems started by Mwalimu. It's all our fault.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…