Namkaribisha Tanzania, ningependa angekuwa mtanzania au aje amalizie maisha yake hapa Tz!!
Penda sana huyu mama!!
Chief huyu mama sio mzazibar ni raia wa Comoro
....dah; nimeanza kumsikia nikiwa kadogooo mpk leo midevu kibao!
....dah; nimeanza kumsikia nikiwa kadogooo mpk leo midevu kibao!