Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Kweli dunia hadaa Ana nn bibie? hebu rudiaTrainer kavaa skin jeans
Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake
Hahah[emoji23][emoji23]Wafanyakazi njooni huku mpozwe na ubuyu
Point yangu haikuwa hiyo lakini.... Muktadha wangu ulikuwa kuhusu wanaume wanaoitwa handsome na hao wenye misuliKijana Mshana Jr ni hivi: Hakuna mwanamke yeyote anayejitambua akakubali kufanyiwa ujinga na mwanamme dizaini ya Mondi, bisha usibishe.....ukweli ndiyo huu. Jibu sahihi la mwanamke yeyote anayejitambua akifanyiwa ujinga kwanza utoa onyo kwa mwanamme wake na kama mwanamme anazidi uongo kuendekeza ujinga wake malipo yake ni haya haya aliyofanya Zari. Anatafuta mwanamme handsome ili amuumize jamaa yake zaidi. Wewe jiulize haswa nyie wanawake, hivi Diamond anaweza kweli kujifananisha na hao wanaume aliotembea nao Zari? Kuna sababu kwanini Diamond analia lia mitaani, anajuwa fika kabisa kuwa hawezi jifananisha na hao wanaume. Si Zari tu, wanawake wanaojitambua wako hivi, unamfanyia ujinga anakuletea mbadala wako live ili uumie na wewe. Msimpe moyo Domo, mwacheni aonje machungu yake na yeye. Mtenda katendewa, mtaa mzima unamcheka.
kaka Mimi nimechelewa lkn nimefika!Wafanyakazi njooni huku mpozwe na ubuyu
Hahahahhaaa shtTrainer kavaa skin jeans
Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake
Umeongea kitu kikubwa in a simple way!Trainer kavaa skin jeans
Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake
Binamu hebu nifafanulie, Mondi hawafikii hao jamaa kwenye kunyanyua vyuma au hawafikii kwenye nini?
Kweli mashabiki wa zari ni wapuuzi na wewe ni mmoja wao. Kabishane na wapuuzi wenzako.
Sijaona, labda nirudie.mbona kaelezea vizur tu mkuu, processor yako ikp slow?
Imeiga ujinga hadi umalaya kwa boss wao feki. Unajua mtu akiwa role model wako, unaiga kila anachofanya.
Yapo kutembeza K maana wame motivatiwa na bosi wao kwamba inalipa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]boss kawaumbua jamani.
Hii Ishu watu wengi hawajajua ila inawamaliza vijana wengi sana. Hasa wale wanaokula supplement tabs za kujenga miili. Wale wanaomeza kila siku na kupiga Mazoezi wana matatizo ya E.D.Sibishi aisee hao vijana mqbody builders siku hizi ndio wanaongoza kuwa mabwabwa...sishangai kabisa huyo kakaa kichoko kabisa
Nipishe mie, kashirikiane na boss wako kutembeza K zenu.was she serious?? she meant that? I doubt, ndio maana unaonekana kivingine
hakusema kama ndio kazi yake, alimshushua mtu mmoja USA kuwa nae aitumie
zari watu wanamjua hata kabla hajaolewa na ivan aliishakuwa kwenye media. unless umemfahamu baada ya kuolewa na kaka yako
Ya Zari inaweza isiwe na Km nyingi kama yako kwasababu hatukufahamu. Ila kwasababu anafahamika mnamuhesabia.Nyuchi zingekuwa zinasoma Km, ya zari sijui ingesoma km ngapi.
Trainer kavaa skin jeans
Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake