PICHA: Ifahamike hawa ndio waliolengwa na UN kwenye Women's day wengine mnaforce tu

PICHA: Ifahamike hawa ndio waliolengwa na UN kwenye Women's day wengine mnaforce tu

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
IMG-20250309-WA0041(1).jpg


UN ilimaanisha Women's day iwe na wadada kama hawa nyie wengine mnaforce.

Credit to CHADEMA Party
 
Huyo wa katikati alidondosha pochi yake wakati anapita hapa dukani kwangu, anayemjua amwambie nimeitunza iko salama anaweza kuipitia
Unazuga TU ww! Sema nikupe namba yake! Ila uwe na hela!
Huyo wa katikati alidondosha pochi yake wakati anapita hapa dukani kwangu, anayemjua amwambie nimeitunza iko salama anaweza kuipitia
 
Mboga mboga vyuma kama hivi wavitoe wapi!? Wamejaa mangeu usoni kwasababu ya ngumi wkt wa kugombania rushwa!
Kwanza mboga wote Wanasura za kichawi na chale usoni kama za Mwanshamba unachezea kuwatongoza Wajumbe ni lazima upigwe bima ya Afya Kote(Chale) siyo za Matacle mpka Usoni ndio Pisi za Mbogamboga
 
Mboga mboga vyuma kama hivi wavitoe wapi!? Wamejaa mangeu usoni kwasababu ya ngumi wkt wa kugombania rushwa!
Usisahau huwa pia na rangi nyeusi na nyeupe katika mwili wao kwa sababu ya vipodozi
 
Mboga mboga vyuma kama hivi wavitoe wapi!? Wamejaa mangeu usoni kwasababu ya ngumi wkt wa kugombania rushwa!
Kwanza mboga wote Wanasura za kichawi na chale usoni kama za Mwanshamba unachezea kuwatongoza Wajumbe ni lazima upigwe bima ya Afya Kote(Chale) siyo za Matacon mpka Usoni ndio Pisi za Mboga
 
Back
Top Bottom