Picha iliyoniboa sana leo hii..

Mdada unavaa hivi Unategemea nini?????



Ni kweli. Inaboa. Lakini yote haya yameandikwa kwenye Vitabu Takatifu vya Allah!

"Utafika wakati wanawake watakuwa wanavaa nguo lakini wataonekana hawajavaa nguo."

Hizi ndizo siku za mwisho hizi. Yaliandikwa haya. Usishangae.

Mwana wa Haki
 


mmh ok!
 
FirstLady,
Naomba kukuuliza Da'yetu... Je, una m-judge huyo dada kulingana na mavazi yake kama ulivyoweka hiyo picha juu au kwa mambo mengine ambayo bado hayajaongelewa hapa?!

First Impression counts
 
mama wa kwanza punguza hasira bibie.........................!kaka zako ndio pipi zetu za macho hizi.................!
 
Afu kama umegundua FL1 huyo dada si mkali wala nini ndo maana anajitembeza
 
halafu kademu kenyewe kabaya, hakuna makalio hapo na wala hakuna mwanamke nyonga hapo.
 
mama wa kwanza punguza hasira bibie.........................!kaka zako ndio pipi zetu za macho hizi.................!

hahaha father -Xmas kumbe ndo viburudisho vyenu eeh:sleepy:
 
wanawake wengi tunadharaulika sana kwa sababu hatuna heshima. Hivi kweli hapo mwanaume akija kukutaka kimapenzi unafikiri baada ya kukidhi haja zake anaweza kukuwazia kindoa?

Wanawake lets be serious, oneni mbali jamani! mavazi mengine waachieni hao walimong'onyoka ubongo!
 
FL1
mwenzio naipigia nyeto kila siku avatar ya CheusiMangala
Unaona tunavyotegwa?
 
Muacheni dada wa watu ajitangaze atiii;


Hizi picha zipo poa, nimezipenda hasa hii inayoonyesha bikini na mchoro wa umbo la mwanadada - safi FL1 kutuletea wadau, biashara bila matangazo utaifunga.
 
Hawna maana hawa dada zetu wa cku hizi. wewe unadhani kwa kuonesha sehemu kubwa ya utupu wako nani atakutaka? Mnaiga uzungu eeh!!! UTAPASUKA MSAMBA
 
Sijaona ubaya wowote wa hilo vazi la huyo dada. Kavaa kapendeza. Pengine wanawake wengine hawajui kuwa wanavaa kwa taste ya wanaume, na si kwa taste ya wanawake. Alivyovaa hivyo huyo dada mi nimeona kapendeza sana na nikikutana naye nitamtazama mara mbilimbili, ananivutia yaani. Nani asiyependa kutazama kinachovutia? Tuache unafiki.

Mimi bwana napenda mwanamke avae aonekane sexy, hata nikiwa nafanya naye kazi ofisi moja nafurahia kuja kazini, sio kwamba namtaka nikamlale, lakini anachangia kupendezesha yale mazingira kama tunavyoona maua mazuri bustanini.

Wanawake pendezeni, sisi wanaume liberals tunawaunga mkono. Hao mahafidhina walioathiriwa na dini za wazungu na waarabu wasiwababaishe.
 

duuh we Mtu B wewe ndo maana ulisalimika :becky::becky::becky:
 
Du nimefungulia swaumu yangu kwa kumwangalia huyo changu
 
Mimi nafikiri kwanza tujue matumizi ya hayo mavazi, hivi ni vazi gani hilo? Designer alikuwa nafikiria nini? Nilisikia kuwa designers wa nguo za kike wanazingatia saikilojia na mabadiliko ya kibaiolojia ya wanawake kama "ovulation". Inasemekana wanawake wakiwa kwenye ovulation wanapenda kuvaa vinguo vya uchi uchi tu!! Huyo yuko kwenye Miss Tanzania behind the scene!!!!!!!!!!!!!
 
Anaonyesha hicho kitu cha mkanda mmoja amenunua bado kipya

Mageuzi haya bwana unajua zamani ilikuwa ukiwa na mpenzi wako ukitaka kujua makalio yake hayana vipele unafunua chupi!siku hizi wapi bwana imegeuka ukitaka kuona chupi nilazima ufunue makalio!!!:becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…