Picha iliyonivutia leo ni hii hapa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa katika mazungumzo na Mama Maria Nyerere Nyumbani kwake Butiama wakati wa kilele cha kumbukumbu ya miaka kumi tangu kufariki kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere. ( Picha: Freddy Maro). Picha zaidi na habari, tembelea: mjengwa
 
walikuwa wana cheki big braza nini? manake rais naona ndo mfuatiliaji mzuri hapo
 
Upuuzi mtupu, badala ya kwenda naye kule Nyerere foundation wakafanye kazi ya kuendeleza mambo na kuanzisha Library ya Taifa la kesho wanamkaribisha kuangalia TV, hata glasi ya maji ya kunywa hakuna hapo! Lo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…