Elections 2010 Picha inapo leta maswali badala ya jibu

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173

Mtu wa pili na watatu kutoka kushoto na wapili na watatu kutoka kulia wameipa hii picha maudhui tofauti.
 
NIKIWATAZAMA VIZURI HAWA VIJANA NADHANI NI WALE WA UDOM wakati wakiapishwa kwendakwenye msafara wa kutafuta wadhamini wa JK!...Yaani hadi wanaona aibu, maana wanajua watakitumikia chama kisicho na ukweli wa sera wala mwelekeo!
 
Mbona wanaonekana kuchoka? Ni wala unga or what?
 
Aibu hiyoooooooooooooooooooooooooooo na njaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. watawamaliza vijana wetu.
 

nIKIWATAZAMA VIZURI HAWA VIJANA NADHANI NI WALE WA UDOM wakati wakiapishwa kwendakwenye msafara wa kutafuta wadhamini wa JK!...Yaani hadi wanaona aibu, maana wanajua watakitumikia chama kisicho na ukweli wa sera wala mwelekeo!
Hii picha ni ya juzi wakati Bilali akiwa Mirerani.Unapohama chama kimoja kwenda chama kingine ni kwamba chama unachohamia kimekuvutia zaidi ya chama unachohama .Lakini cha kushangaza kwa hawa vijana ni tofauti, baadhi wanajaribu kuficha nyuso zao. Wanaposema pesa sio sabauni ya roho hawajakosea.
 
Ni walokosa hekima hawa, yaone kwanza
 
Huyu mbona aliyewatangulia anafanana na na Ludovick Utoh,mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali?
 

nIKIWATAZAMA VIZURI HAWA VIJANA NADHANI NI WALE WA UDOM wakati wakiapishwa kwendakwenye msafara wa kutafuta wadhamini wa JK!...Yaani hadi wanaona aibu, maana wanajua watakitumikia chama kisicho na ukweli wa sera wala mwelekeo!

Wanaona Aibu
 
Huyu mbona aliyewatangulia anafanana na na Ludovick Utoh,mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali?
Lidovick kama angekuwa mwanachama sidhani kama angekuwa ccm.
 
Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, jioneni kwanza!!!
 
Hwa mbona kama vijana w kitaa tu ona wengine hawajachomekea, yule mkanda unaninginia, wanaona aibu, mwingine hajafunga mikono ya shati hawa wanafki tu!
 
Wasamee bure hawajui watendalo maana ni njaa kwelikweli na hela za field (industrial practice) hawakupewa mwaka huu baadhi yao.
 
MMMH! Kweli hawa watu walilazimishwa. Na sijui ni kiapo cha kuwa wasiri wa ufisadi au kuchakachua damu zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…