INAUZWA Picha inauzwa 150k

INAUZWA Picha inauzwa 150k

EddyArt

Member
Joined
Jul 26, 2024
Posts
48
Reaction score
76
White flower on black background
Size:49.7cm x 69.5cm
Price:150,000/=
Contacts:0685069818
pcture.jpg
 
Location wap,mawasiliano je? mbona unaweka tangazo kibubububu
 
Hizi picha si za kununua hovyo hovyo mpaka ujue maana yake.. Kuna MOJA iliniletea majanga makubwa
Kuna kanisa Moja uganda waliletewa na wamisionari kutoka Korea Kusini picha wakaiweka Kanisani. Kumbe wameweka dude la hatari kuanzia hapo wachungaji walikuwa wanakufa hatari haswa wale wanaokuwaga na ratiba za maombi usiku..

Mpaka alipoenda jamaa mmoja ndo akashtukia mchakato nae aliponea chup chup kuchomelewa roho.

Kuna haja sana kuelewewa nini kipo nyuma ya picha husika kiroho.
 
Kuna kanisa Moja uganda waliletewa na wamisionari kutoka Korea Kusini picha wakaiweka Kanisani. Kumbe wameweka dude la hatari kuanzia hapo wachungaji walikuwa wanakufa hatari haswa wale wanaokuwaga na ratiba za maombi usiku..

Mpaka alipoenda jamaa mmoja ndo akashtukia mchakato nae aliponea chup chup kuchomelewa roho.

Kuna haja sana kuelewewa nini kipo nyuma ya picha husika kiroho.
Imani potofu tu hizo, picha haiwezi kufanya watu wafe.
 
Kuna kanisa Moja uganda waliletewa na wamisionari kutoka Korea Kusini picha wakaiweka Kanisani. Kumbe wameweka dude la hatari kuanzia hapo wachungaji walikuwa wanakufa hatari haswa wale wanaokuwaga na ratiba za maombi usiku..

Mpaka alipoenda jamaa mmoja ndo akashtukia mchakato nae aliponea chup chup kuchomelewa roho.

Kuna haja sana kuelewewa nini kipo nyuma ya picha husika kiroho.
Wakorea wangepeleka Picha nyingi ilo kuwaua mahasimu wao wakubwa Korea Kaskazini hizi imani za hovyo hovyo sijui mnazipata wapi..
Watu wapo busy kutengeza mabomu na vifaru si wangekaa tu sehemu wachore picha ziwe siraha sema hapa ni zile roho za kusagiana kunguni tu ili jamaa asiuze picha yake tu roho mbaya za watu weusi hizo..
 
Wakorea wangepeleka Picha nyingi ilo kuwaua mahasimu wao wakubwa Korea Kaskazini hizi imani za hovyo hovyo sijui mnazipata wapi..
Watu wapo busy kutengeza mabomu na vifaru si wangekaa tu sehemu wachore picha ziwe siraha sema hapa ni zile roho za kusagiana kunguni tu ili jamaa asiuze picha yake tu roho mbaya za watu weusi hizo..
🤣🤣🤣Shukrani ndugu,mimi sio muongeaji sana na karibu
 
Back
Top Bottom