heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393

keep hatin wakati wenzio wanatumia fursa vizuri..
ila kilichonifulahisha ..toka tangazo litoke hakuna coments ya matusi hata moja ..wanaume ambao ndio huongoza kwa coments za chuki na matus kwenye post za dianond ndio hao hao wakabadilika na kupongeza na kmsifia kwa majina yote...bongo bwana..
na haters wengi ikiwemo wa humu jf,ni wale jobless na wenye maisha yasiyoeleweka..badilikeni basi taifa lisonge..chuki za nini????????