Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi


Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe
 

Huwezi kutegemea kitu kama mengi aishi maisha ya kihuni na uzinzi wa namna hiyo
 
Kanumba --- source ya kifo chake ni lulu

Ndikumana -- Irene uwoya

Mengi -- Jacklyn ntuyabaliwe

Ivan --- zarina Hassan

Kuna Haja sasa kwetu sisi wanaume kukaa na kujitathmini vyema ..hivi viumbe kwa namna nyingine sio watu wazuri
Mkuu umemsahau yule mtoto wa Mwakasage hapa, na yeye inasemekana yule miss alimdedisha kwa stress
 
Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe
We ni mtu wa tatu kutamka hili
 
Watu wabaya sana,mnachukua picha za matukio ya zamani mnazitumia kumuumiza mjane
Ni gere tu hakuna zaidi
 
Hiyo picha Ina shida gani? Hebu wekeni ushahidi wa maana sio imaginations
 
Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe

Mnasingizia mtu kwa kua amechelewa kuoa, wengine wamelelewa vizuri hawawezi kuzaa nje ya ndoa
 
Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe

Kwani hali hizo zilianza tangu wakiwa wadogo?

Maana hata hao wadogo wasipofunguliwa na kupewa malezi mema wanaweza wakawa hawaeleweki nyendo zao vile vile!

Sitaki kuamini hayo usemayo , lakini hata kama ingekuwa ni kweli basi awatakia Mungu awahurumie kisha ndugu zao wawapeleke kwenye wakafunguliwe kwenye maombi kanisani!
Wamtafute Palangyo atokae Arusha KKKT, Mchj Mtsai wa KKKT Kimara n.k

Wanahitaji kufunguliwa, Matajiri wana mambo mengi , ndo maana tunafundishwa kuepuka kutamani cha jirani maana huwezi kakipataje.

Mungu atuhurumie!
 
Kama haya yanayosemwa yana ukweli na Mengi kaacha will inayompa Jackie percentage kubwa kuliko watoto wakubwa basi lawyers wajiandae kuvuna mpunga mrefu maana naona kuna kesi kubwa inakuja muda si mrefu ujao.
Hawa watoto walishapata share ya mama yao, Mengi alibaki na 25% ndiyo ameihonga kwa spring chicken.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…