Picha: James Lembeli, kada wa CCM anayeungana na CHADEMA kupinga ufisadi wa CCM

Dah maisha haya nakumbuka miaka ya 2010 yuko na mr nice kahama vijijini anapiga campain ya kuendelea kubaki kwwnye nafasi yake kama mbuge james daud lembeli
 
Nakumbuka alikuwa na kauli yake UKITAKA KUUONA UCHI WA KUKU USIWE NA HARAKA. SUBIRI UPEPO UPULIZE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…