PICHA: Jionee kaburi atakalozikwa Papa Wemba

Mbwembwe tu mtu kashakufa haina maana kwa maana haoni anavyozikwa
 
kuna mchaga mmoja alikuwa anaitwa erasto msuya ungeona jeneza lake na kaburi ilikuwa ni shida jeneza lilikuwa wana li control na remote
 
Huyu tajiri wa Nigeria alizikwa na gali lake, just compare yeye na Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba (alias Papa Wemba), nani zaidi. Kwa Allah, Mungu, Nzambe wote ni sawa.



 
nikifa nizikwe kwa ule mchanga wa dhahabu wanotuibia wazungu
 
Huyu tajiri wa Nigeria alizikwa na gali lake, just compare yeye na Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba (alias Papa Wemba), nani zaidi. Kwa Allah, Mungu, Nzambe wote ni sawa.
Nigeria ilikuwa movie
 
Mimi wala sioni tatizo....hata kama wataamua kutumia dhahabu au almasi...."Mwenda zake" alikuwa na wafuasi...na wafuasi wanahitaji kubaki na alama "land mark" ya mpendwa wao...haijalishi wanaipa nakshi kiasi gani mwisho wa siku thamani ya tulivyonavyo tumeamua na kujipangia sisi wenyewe binaadamu...

Na wengi wetu tunaamini kuwa ipo siku moja kuu ya hukumu.

Ni sawa tu na tofauti ya maisha tunavyoishi....tupo wale tunaoendesha Gari la milioni mia mbili na mwingine hata Baiskeli anaisikia tu....na wote tuna share oxygen hiyo hiyo.....na sio Mwenyezi Mungu aliyethamanisha hayo bali ni sisi wenyewe binaadamu.

Walisema Wahenga Dunia uwanja wa fujo, kila mwenye ngoma yake acheze mpaka ipasuke.
 
Nim
Nimependa na nimekuwa inspired na andiko lako.
 
Bara la Afrika limepata pigo. JK akatuwakilishe kama taifa.
 
Mwana FA aliimbaga kaburi halitaki mbwembwe ndo hawaweki A/C wanigeria walisha defy hio statement kuna mtu alikua anaitwa HID Awolowo ...aisee kaburi lake lina A/C hata la papa wemba linakaaa
 

word[emoji106]
 
wa Congo msiba kwao ni sherehe...nimefatilia misiba ya wanamuziki wengi Congo (You Tube) ni full mbwembwe...watu wana dansi mwanzo mwisho...sijui president sijui nini...nadhani ni tamaduni zao...na vile vile wanathamini sana mchango wa mziki kwa nchi yao (kuliko madini yanayowaletea vita)
 
Asilimia kubwa mataifa yaliyotawaliwa na Wafaransa ni watu wa hanasa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…