Picha kali ya leo

Picha kali ya leo

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
14,478
Reaction score
18,341
otgah4.jpg


hawa jamaa usalama wataangalia saa ngapi?wamesahau kazi iliyowapeleka wamekuwa mapaparaz,kweli bongo kuna amani duh.

na huyu mwongoza TV ya Uwanja wa Taifa alichemsha sana!

11w6osn.jpg
 
Hivi mabosi wao huwa wanaziona hizi picha?
S**t!!
 
nawaonea hadi huruma. huu ugeni wa technologia huu jamani...tukipata kidogo tu tushalimbuka haoooo sasa visimu vya elfu hamsini ivyo wanamringishia nani?
 
nawaonea hadi huruma. huu ugeni wa technologia huu jamani...tukipata kidogo tu tushalimbuka haoooo sasa visimu vya elfu hamsini ivyo wanamringishia nani?
Kweli, ndio bongo hata power tiller!?!
 
Tuwasamehe hawajui walitendalo
 
Hiyo TV ndo imeniacha hoi
 
Khaaaa nimecheka sana, hao walinzi wamegeuka paparazi na hawajui tena jukumu lao la ulinzi. Hongera kwa kijana aliyeweza kingia uwanjani bila kipingamizi chochote na kutimiza ndoto yake ya kukutana na kaka uso kwa uso.. hongera sana. Na hio screen we achaa tuuu ... ndio bongo hio,,, kigugumizi lazima !!!!
 
Khaaaa nimecheka sana, hao walinzi wamegeuka paparazi na hawajui tena jukumu lao la ulinzi. Hongera kwa kijana aliyeweza kingia uwanjani bila kipingamizi chochote na kutimiza ndoto yake ya kukutana na kaka uso kwa uso.. hongera sana. Na hio screen we achaa tuuu ... ndio bongo hio,,, kigugumizi lazima !!!!
nakwambia balaa tupu yaani kila kukicha ni visa vitupu kunzia rais mpaka na wananchi wote,tanzania imekua kama jumba la zecomedi maana kila siku ni vioja tu hakuna aliye serious na kitu chochote.
 
sina hamu,,wao adi kiranja mkuu tatizo tupu
 
Teh teh teh! Poor them...! Kamba mambo yenyewe ya teknolojia yalikaa hivi hizo nyimbo za taifa zingetoka bomba kweli?
 
nawaonea hadi huruma. huu ugeni wa technologia huu jamani...tukipata kidogo tu tushalimbuka haoooo sasa visimu vya elfu hamsini ivyo wanamringishia nani?

Usiombe tena mbona afadhali hao; kuna tukio la kiakanisa nilihudhuria hivi karibuni amabako kwaya zilikuwa zinaimba; alianza moja na kisimu chake cha mchina kufumba na kufumbua watazamaji tukazibwa kwani waliokuwa mbele yetu ni wapiga picha na simu zao! aaargh.............ilibidi niingilie kati na kwenda kuwasema palepale!
 
Hawa jamaa walitaka kuonyesha watu wanaijua komputa,walichokua wanawaza ni mipesa tuuu,uwanja uliwatia aibu hata raha ya gemu hawakua nayo
 
Usiombe tena mbona afadhali hao; kuna tukio la kiakanisa nilihudhuria hivi karibuni amabako kwaya zilikuwa zinaimba; alianza moja na kisimu chake cha mchina kufumba na kufumbua watazamaji tukazibwa kwani waliokuwa mbele yetu ni wapiga picha na simu zao! aaargh.............ilibidi niingilie kati na kwenda kuwasema palepale!
hahaa haaaa...!!!! kweli wewe ni MASIKINI JEURI.
 
Ni vizuri ilivyoanza kujadili wajibu wao kwamba walijisahau. Lakini habari za teknolojia asiwepo wa kuwaponda kila mtu ana priorities zake. Kutembelea Bajaj au Prado ni mipango ya mtu
Hakuna cha priorities ni ushamba tu unawasumbua! Ni kutaka kujionesha kwamba "na mimi nimo"! Kwisha!
 
Back
Top Bottom