Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,478 Reaction score 3,659 Jun 13, 2010 #21 hata wao wanahitaji kuondoa stress so waacheni. kwani kuna kitu kiliharibika siku hiyo?
firstcollina JF-Expert Member Joined Aug 8, 2009 Posts 349 Reaction score 23 Jun 13, 2010 #22 Hamna! Tatizo wabongo tumezidi mizaha. Bongo Seriousness hakuna kabisa........ yaaani full mizaha, kila sehemu ni mizaha tu. Ee Mungu utuongezee maarifa maana tunadhalilika. Haya bwana.
Hamna! Tatizo wabongo tumezidi mizaha. Bongo Seriousness hakuna kabisa........ yaaani full mizaha, kila sehemu ni mizaha tu. Ee Mungu utuongezee maarifa maana tunadhalilika. Haya bwana.