Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii imetisha sana. Baba Keagan kule analia sijui ameogopa hii picha au vipiHii picha kali imepigwa ndani ya ofisi za Ubalozi wa Marekani .
Kiukweli wengi wametembelea ubalozi huu lakini Picha hii ndio bomba zaidi .
View attachment 2184257
Nanyi mlipigia ubalozi wa Marekani?!Umefahamu vipi mkuu? Umeona picha yangu na shemeji yako?
SAHIHISHO: Hapo ni kwenye makazi (nyumbani) kwa Balozi, na siyo ofisi za Ubalozi wa Marekani.Hii picha kali imepigwa ndani ya ofisi za Ubalozi wa Marekani .
Kiukweli wengi wametembelea ubalozi huu lakini Picha hii ndio bomba zaidi .
View attachment 2184257
Tumetoka Dubai wikiendi. Tulipiga pale burji al arab.Nanyi mlipigia ubalozi wa Marekani?!
pole mkuuUnazi bana.
๐๐๐ถ๐ถSAHIHISHO: Hapo ni kwenye makazi (nyumbani) kwa Balozi, na siyo ofisi za Ubalozi wa Marekani.
ruksaInafaa niitoe halaf niiweke Ukutani chumbani kwangu.
Hivi Bakuli la kuombea hela Ameliacha mapokezi au kaliweka hapo chini!Hii picha kali imepigwa ndani ya ofisi za Ubalozi wa Marekani .
Kiukweli wengi wametembelea ubalozi huu lakini Picha hii ndio bomba zaidi .
View attachment 2184257