Picha kali ya Mwezi wa 4 hii hapa

Inasaidia vipi kupunguza matatizo tuliyonayo?mnaambiwa mkinukishe mnashindwa endeleeni kusubiri sanduku la kura liitoe ccm ili mambo walau yabadilike yasiende Kama kawaida.pigeni hata bomu moja Basi pale naniliu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umefahamu vipi mkuu? Umeona picha yangu na shemeji yako?
 
Erythrocyte unaishiwa sasa! We utakuwa ndo mbowe mwenyewe, si kawaida hii. Kilichokupendeza wewe nini hapo?!!! Au hayo makengeza kujificha kidogo?!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ