Kweli unashindanisha ndinga na vitu vya kijinga? serious ๐ค?
Nipasie huyo manzi mkali tafadhali, ndinga kali tayari ninayo๐
ChaiKuna jamaa akienda bar anavaa kabisa na kinga kabla hajalewa harafu anakaa kwenye kiti, maana akilewa anafanyanga maamuzi bila kujijua,anaondoka na mtoto akifika asije uza mechi๐ ๐ kwaiyo hapa nafikili agechagua A
Kweli unashindanisha ndinga na vitu vya kijinga? serious ๐ค?
... compare and contrast. Kila mtu ana choice yake; wakati Joanah unaita vya "kijinga" mwenzio anaona ndio the best choice!Nipasie huyo manzi mkali tafadhali, ndinga kali tayari ninayo๐
๐๐๐๐Umemaanisha manzi mkali au manzi mwenye Tako?