Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
Rudini Africa tupambane na maisha mbona mnatia aibu hivyo? ni bora kufa ukiwa fukara kuliko aibu hizi!
Tamthiliya na zenyewe lazima waweke scene ya ushoga sijui yaani dah hii dunia cartoon za watoto nw wanaweka ushoga ndani yake Mungu tusaidie
Inamaana huyu akishikwa na tumbu la kuhara na mume ataka mzigo si ndio atamwambia, mume wangu leo haiwezekani nimeingia mwezini.
Hii ni hatari sana sana.. huyu si mweusi wa Africa
Msilolijua ni kama usiku wa Giza. Hiyo kitu imekua staged huyo jamaa wa Arusha kamlipa mshikaji wafunge Ndoa fake ili apate Uraia
Pia asiweze kurudishwa Tanzania kwa sababu Tanzania hizo ndoa hazikubaliki
Ingawa kafanya kwa interest zake ila ni Aibu sana kwa Taifa, tusimame pamoja kupinga ndoa za jinsia moja.
Hip hop City mmeniangusha, nimesikitika sana.
Halafu ndoa imefanyikia kanisani basi.
Machalii wa Arusha wanagawa mzigo Paulo Sergio De Souz
Kuna watu juzi walisema Arusha hakuna vitendo vya kifedhuli sijui wapo wapi, hongereni machalii ya R chuga kwa kupata shemeji mzungu, Dah siamini kama kweli huyo jamaa ni shemeji ya Joh Makini, G nako, Mamong'oo nk. Kumbe machalii ya R ni walaini tu wote wakaolewe bangi hawaziwezi wawaachie Tarime mura, au mnasemaje Arifu si tuje tuwaoe tu
Yani huyo mi mchaga original