Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Uwiiiiiii tunaenda wapi jamani?
Huyo kijana katudhalilisha sana,angekuwa kaka yangu ningemtilia sumu......potelea pote.
D iko wapi na wewe?Huoni kama hiyo ni B ya British?
Rudini Africa tupambane na maisha mbona mnatia aibu hivyo? ni bora kufa ukiwa fukara kuliko aibu hizi!
mbona mnamsema kaolewa mwafrika,,nani hapo kaandikwa mke ,,mme,,acheni kujisusha,,kila baya mwafrica
Duuh hizi papers mpaka na tongue kiss-huu ni utamaduni wa akina faiza Foxy labda aje atupe maelezoLooks more like a setup job to me. These guys must be con-artists and the whole deal is to secure immi papers for the black dude thru legit gay partnership/marriage registration.
mbona mnamsema kaolewa mwafrika,,nani hapo kaandikwa mke ,,mme,,acheni kujisusha,,kila baya mwafrica
the guy is from Afica Arusha Tanzania.