Rudini Africa tupambane na maisha mbona mnatia aibu hivyo? ni bora kufa ukiwa fukara kuliko aibu hizi![/QUOTE Nyani Ngabu huyo ................................
jamaa ni wa Arusha, eneo la Sakina. anamiliki Bar. Bila shaka ni Ukawa huyu !
..ww ndio mama yake nini?!
Aisee, kwa hiyo dogo unaenda kufaidi neema za allah au huyo mzungu ndio anaenda kufaidi baraka za mtume?
Mkuu hilo jamaa limenivuruga,siku yangu imeisha vibaya sana.......
Nw days nina ogopa sana kuingia insta siku aishi hujaona mambo ya ushoga yaani kila siku naharibiwa siku inabidi tumuombe Mungu sana dah yaani moyo unauma nikiona haya mambo
Hunizidi mimi mkuu,insta imebakia kama pambo kwenye simu yangu coz huwa sioni umuhimu wake.