Picha kutoka jicho la camera ya Mohamed Shebe

Picha kutoka jicho la camera ya Mohamed Shebe

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
PICHA KUTOKA JICHO LA CAMERA YA MOHAMED SHEBE

Picha ya kwanza ni mkutano wa TANU Mnazi Mmoja mwaka wa 1954.

Ukiangalia utaouona na mnazi mmoja wenyewe.

Angalia na nyumba za Gerezani kama zilivyokuwa katika miaka ya 1950.

Picha ya pili ni Bantu Group vijana wa TANU waliokuwa wahamasishaji na walinzi wa viongozi wa TANU.

Picha ya tatu ni Julius Nyerere na Bi. Titi Viwanja Vya Jangwani wakihutubia mkutano wa hadhara.

Picha ya nne ni picha aliyonipiga Mzee Shebe mwaka wa 1953 kwenye studio yake Mtaa wa Livingstone na Kipata.

Screenshot_20220227-082755_Facebook.jpg
 
PICHA KUTOKA JICHO LA CAMERA YA MOHAMED SHEBE

Picha ya kwanza ni mkutano wa TANU Mnazi Mmoja mwaka wa 1954.

Ukiangalia utaouona na mnazi mmoja wenyewe.

Angalia na nyumba za Gerezani kama zilivyokuwa katika miaka ya 1950.

Picha ya pili ni Bantu Group vijana wa TANU waliokuwa wahamasishaji na walinzi wa viongozi wa TANU.

Picha ya tatu ni Julius Nyerere na Bi. Titi Viwanja Vya Jangwani wakihutubia mkutano wa hadhara.

Picha ya nne ni picha aliyonipiga Mzee Shebe mwaka wa 1953 kwenye studio yake Mtaa wa Livingstone na Kipata.

View attachment 2132603

Shukran mkuu
 
picha ambayo mnazi mmoja wenyewe unaonekana imenitafakarisha sana.

nimevuta hisia kwamba nusu na robo ya huo umati haupo duniani kwa sasa, walishakufa.

na sisi wa kizazi hiki sote tutakufa, tutaiacha dunia na pilikapilika zake.
 
picha ambayo mnazi mmoja wenyewe unaonekana imenitafakarisha sana.

nimevuta hisia kwamba nusu na robo ya huo umati haupo duniani kwa sasa, walishakufa.

na sisi wa kizazi hiki sote tutakufa, tutaiacha dunia na pilikapilika zake.
Katika hiyo picha hata 100 hawafiki ambao ni wanaishi. Na ndio maisha yalivyo
 
PICHA KUTOKA JICHO LA CAMERA YA MOHAMED SHEBE

Picha ya kwanza ni mkutano wa TANU Mnazi Mmoja mwaka wa 1954.

Ukiangalia utaouona na mnazi mmoja wenyewe.

Angalia na nyumba za Gerezani kama zilivyokuwa katika miaka ya 1950.

Picha ya pili ni Bantu Group vijana wa TANU waliokuwa wahamasishaji na walinzi wa viongozi wa TANU.

Picha ya tatu ni Julius Nyerere na Bi. Titi Viwanja Vya Jangwani wakihutubia mkutano wa hadhara.

Picha ya nne ni picha aliyonipiga Mzee Shebe mwaka wa 1953 kwenye studio yake Mtaa wa Livingstone na Kipata.

View attachment 2132603

Hivi Kwa ukaribu waliokua nao nyerere na bi titi. Jkn hakula mzigo kweli?
 
Picha nzuri zikiakisi mandhari halisi ya wapigania uhuru.
 
picha ambayo mnazi mmoja wenyewe unaonekana imenitafakarisha sana.

nimevuta hisia kwamba nusu na robo ya huo umati haupo duniani kwa sasa, walishakufa.

na sisi wa kizazi hiki sote tutakufa, tutaiacha dunia na pilikapilika zake.
Smarte,
Katika wanachama wa TANU ya 1954 ninaowajua mimi wa hai ni watatu - Bilal Rehani Waikela kutoka Tabora na ni muasisi, Athmani Matenga kutoka tawi la TANU la Ali Msham Magomeni Mapipa na Mama Maria Nyerere.

Mwanachama wa nne alikuwa Abbas Sykes ambae amefarika mwaka jana 2019.

Huyo hapo chini ni Athmani Matenga.

Screenshot_20220227-121439_Facebook.jpg
 
PICHA KUTOKA JICHO LA CAMERA YA MOHAMED SHEBE

Picha ya kwanza ni mkutano wa TANU Mnazi Mmoja mwaka wa 1954.

Ukiangalia utaouona na mnazi mmoja wenyewe.

Angalia na nyumba za Gerezani kama zilivyokuwa katika miaka ya 1950.

Picha ya pili ni Bantu Group vijana wa TANU waliokuwa wahamasishaji na walinzi wa viongozi wa TANU.

Picha ya tatu ni Julius Nyerere na Bi. Titi Viwanja Vya Jangwani wakihutubia mkutano wa hadhara.

Picha ya nne ni picha aliyonipiga Mzee Shebe mwaka wa 1953 kwenye studio yake Mtaa wa Livingstone na Kipata.

View attachment 2132603
Mzee unaonekani ulikuwa na SWAGA kwelikweli
 
Back
Top Bottom