ni kazi za aina gani hizo?kwa wenye equal employment opportunity under the law tayari kungekuwa na bonge la lawsuit kama sio class-action suit dhidi ya hizo kampuni au mashirika yanayofanya hivyo. Sioni mantiki yoyote katika kuomba picha ndogo ya mtu katika hatua za awali za uombaji kazi. Mtu unaweza ukajenga hoja tena kwa urahisi kabisa kuwa kwa kufanya hivyo wanabagua watu au wanajenga mazingira ya kurahisisha ubaguzi wa watu kwa misingi ya mionekano yao.
huu mchakato wa kwenda mahakamani tena wanazidi -ku-complicate mamboHata nafasi zilizotangwazwa wiki jana na tume ya ajira s.l.p 63100 dsm wanataka ubandike ppicha moja na ukathibitishe vyeti nakala za vyeti mahakamani, inakera kwani makarani mahakamani wanadai tshs 2000 kwa kila cheti sasa jumlisha vyeti hivi, shahada, f6, f4, std7, kuzaliwa unapata buku 10, kaaaaaazzzzzi kwelikweli