Picha la Kutisha kuelekea 2025 hili hapa

Mtu yeyote anayemsema TAL kwà nia ya kumkejeli namuona ni mtu mwovu na muuwaji. Uzuri ni kwamba devil's axis imefutika yote bàdo masalia yamebaki kwà kusudio la Mungu ili waiashuhudie kweli na haki ya Mungu.
Hiyo Id yako ndo akili zako.
 
Mtu yeyote anayemsema TAL kwà nia ya kumkejeli namuona ni mtu mwovu na muuwaji. Uzuri ni kwamba devil's axis imefutika yote bàdo masalia yamebaki kwà kusudio la Mungu ili waiashuhudie kweli na haki ya Mungu.
Uzuri ni kwamba devil's axis imefutika yote bàdo masalia yamebaki kwà kusudio la Mungu ili waiashuhudie kweli na haki ya Mungu.[emoji2827][emoji1752]
 
Hiyo picha ilipelekea Jitu liende the" place of no Return ". Kuna kitu cha kujifunza kwa wafitini, yeyote atakaye zuia mamlaka ya wananchi yatakayo wekwa kwa Haki, hakika hatasalimika maana laana itatafuna kizazi na hata vizazi vyake!!
 
Picha gani huyo aache kula vibawa kwa wakweze aje kusumbuana na nyie wala mihogo
 
UKIWA MBISHI WA MUNGU TUNDU ANTIPAS ATAKUTHIBITISHIA.NA LIKAFA KIBUDU TENA LIKIWA MAMLAKANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…