Jamani kunani huko! Mbona mambo hayaeleweki eleweki. Kama mauza uza.
Inasemekana Jamaa hajamaliza mkataba na Vital'O. Baada ya kuaga club yake Vital'O kufanya Trial huko Ufaransa, nasikia Jamaa hajaripoti klabuni kwake. Na badala yake, moja kwa moja akatua Bongo kuja kufinish deal ambalo lina Zengwe.
Taarifa za chinichini zinasema Jamaa kawaambia akina Hans POPE kuwa mkataba wake na Vital'O umemalizika, hivyo wakaamua kumwagisha wino mwanawame..
Ila picha bado halijaisha, but inaonekana stelingi huenda akafa kwenye picha hili.