Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Ndugu yangu Lizaboni angalia usije kupata kifafa cha MIMBA, manake naona umati wa nguvu ya UMMA umekurusha roho mpaka unashindwa kupumua vizuri. Umewekewa picha kwasababu nyie watu wa Chama Cha MATEJA (ccm) ni MATOMASO, hamuamini bila kuaminishwa. Sasa ukipenda iangalie ukichukia CHAPA LAPA Hiyo ndiyo NGUVU YA UMMA.
hatuna haja na picha. tunataka kujua maoni ya hao wananchi. au ndo wanajitafutia uhalali wa kumega ruzuku za chama