Picha: Mabinti wa Museveni ni Waganda kweli?

still wabovu sjaona pisi kali hpo
Mleta mada atakuwa ni wale boys wanaitwagwa marioooo hao wakiona demu mwenye pesa kwao ndiyo mrembo , utawasikia wanasema Beyonce ni mrembo
 
Umezoea kina mwajuma wanajichubua
Hakuna mrembo hapo[emoji1787][emoji1787]tatizo lenu nyinyi hakina mariooo mkiona demu mwenye pesa basi huyo ndiyo mrembo kwenu . Acheni umariooo tafuteni pesa bila ya kutegemea wanawake.
 
akifa baba yao watakuwa na maisha mabaya,, maana Nchi itaingia kweny mgogoro wa kugombea nafasi ya urais,
Museveni ajaandaa mazingira mazuri ya kupokelezana madaraka, ni Bora angeandaa mtu wake then yeye astaafu mapema kwa amani,
Wewe ni zuzu wa kimataifa wewe unadhani mafisadi wakubwa africa wameficha pesa kwenye nchi zao ?[emoji849][emoji849]....au unadhani wanawekeza kwenye nchi zao tu
 
Hakuna mrembo hapo[emoji1787][emoji1787]tatizo lenu nyinyi hakina mariooo mkiona demu mwenye pesa basi huyo ndiyo mrembo kwenu . Acheni umariooo tafuteni pesa bila ya kutegemea wanawake.
Dah kwahiyo tumekuwa marioo sasa? Kisa kusifia chombo kali?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mkuu umeachana na habari za Iran siku hizi?
Ila hapo mu7 kapigwa au nasema uongo ndugu zangu!
 
Wakali Ila kumbuka " beauty lies in the eyes of the beholder." Hawa ni Waganda pure, na kabila lao yani la Museveni wajulikana Kama " Ankole" Yani Wanyankole ndo huwa wanasifika kuwa na wanawake wazuri na weupe kuliko makabila mengine. Wanyankole hawana tofauti na wanyarwanda kimaumbile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…