Umeshamuuliza mkeo alichoropoa ngapi kabla hamjakutana? usikute una maelfu ya "invisible step kids".
Maboga kama haya hapana...
Kijana amesahau alikotoka,mbaya sana unapokutana na binadamu anayesahau historia,ili lilitakiwa kuwa funzo kubwa sana maisha yake yote,ajifunze upendo cos hata yeye alikuwa boga jamaa akajitusha akasonga nalo mbele kwa mbeleKuna jamaa yangu yeye kalelewa na baba wa kambo, baba yake alimkataa tangu yuko tumboni.. kasomeshwa, form 4 akafeli.. sasa yupo kitaa.. kilichonishangaza kanitumia picha ya maboga ya Diamond kupitia whatsapp akimdiss Diamond.... mpaka sasa sijui anawaza nini...
Asilimia 49 wanaume wamebambikiziwa watoto, kunauwezekano mkubwa ikawa wewe ni baba wa kambo tu. Kwa watoto aliozaa mkeo.ni shidah, nashukuru Mungu kuepukana na kero za kuitwa baba wa kambo
ni shidah, nashukuru Mungu kuepukana na kero za kuitwa baba wa kambo
Kanuni ya maisha:aitwaye mke/mume na mzazi wako basi ujue bila ubishi ni mama/baba yako.
Hiyo inaitwa make one and get three for free