PICHA: Maisha ya Stephen Keshi enzi za uhai wake

PICHA: Maisha ya Stephen Keshi enzi za uhai wake

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253
160608074839_stephen_keshi_640x360_getty_nocredit.jpg


Keshi, nahodha wa zamani wa kikosi cha Nigeria, alikuwa mmoja wa watu wawili pekee kushinda michuano ya kombe la bara Afrika akiwa mchezaji na kocha.

160608114434_manager_keshi_640x360_bbc_nocredit.jpg


Alikuwa mkufunzi wa kikosi cha Nigeria kwa vipindi vitatu ,na kuisaidia Nigeria kufuzu katika michuano ya bara Afrika 2013 nchini Afrika Kusini pamoja na kombe la dunia mwaka 2014 huko Brazil.

160608115652_keshi_two_640x360_bbc_nocredit.jpg


Pia alifunza Togo na Mali,na aliwahi kuichezea timu ya Anderlecht ya Ubelgiji.

160608115949_keshi_four_640x360_bbc_nocredit.jpg

Keshi (kulia) na Daniel Amokachi.

Akiwa mchezaji ,keshi alikuwa katika kikosi cha Super Eagles kilichoshinda kombe la bara Afrika mnamo mwaka 1994 na kushindwa kushirki katika mechi za robo fainali za kombe la dunia mwaka huohuo.

160608115536_keshi_one_640x360_bbc_nocredit.jpg


Keshi anadaiwa kuugua mshtuko wa moyo, kulingana na vyombo vya habari vya Nigeria.

160608120434_keshi_threee_640x360_bbc_nocredit.jpg


========

Kifo cha huyu jamaa kimenigusa sana, ingekuwa uwezo wangu ningepanda hata pipa nihudhurie mazishi yake na kuwapa pole wanaijeria.
 
Back
Top Bottom