warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ila wanazengo huyu mbwa kajua kutuumbua wambea sie, wenzao tulijua ndoa ndo kushnei kumbe mapicha picha tu wanatuchezea, mxieew ... sasa lulu na wewe kujichetua juzi na ma video kujifanya una stress mxieew zako ..
Ila I bet , there is something wrong kwenye mahusiano Yao ni vile tu they want to handle it privately , kwa video nilizoona juzi za Lulu it’s obvious kako na stress na Sijui huko Nairobi alienda kufanya nini for only two days mmh , yajayo yanafuraisha, sie wambea yetu macho .
Baada ya wanazengo kuvumisha kuwa wawili hao wameachana, majizo ameibuka na kupost picha ikimuonyesha akiwa na Lulu huku akiweka caption “Komaa na size yako just like that “
Ila I bet , there is something wrong kwenye mahusiano Yao ni vile tu they want to handle it privately , kwa video nilizoona juzi za Lulu it’s obvious kako na stress na Sijui huko Nairobi alienda kufanya nini for only two days mmh , yajayo yanafuraisha, sie wambea yetu macho .
Baada ya wanazengo kuvumisha kuwa wawili hao wameachana, majizo ameibuka na kupost picha ikimuonyesha akiwa na Lulu huku akiweka caption “Komaa na size yako just like that “