PICHA: Makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki wapi?

PICHA: Makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki wapi?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kupitia picha hizi hapa chini, nimejiuliza mara mbili tatu je, ni wapi makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki kama picha zinavyojieleza?

IMG_20210313_192805.jpg
IMG_20210313_195104.jpg
 
Makamu wa rais ni rais kwa niaba yake,nje na ndani ya nchi.

Anaacha majukumu machache sana,a kikaimu au akimwakilisha rais nchi nyingine.
 
Makamu wa rais ni rais kwa niaba yake,nje na ndani ya nchi.

Anaacha majukumu machache sana,a kikaimu au akimwakilisha rais nchi nyingine.
Sawa mkuu, kiitifaki wapi anatakiwa kutumia wadhifa wa urais endapo rais aliyemuwakilisha hayupo?
 
Naomba kufahamu, iwapo raisi asipo kuwepo madarakani kwa namna yoyote ile makamu wake ndie anaepaswa kua raisi labda? Na anakua hivyo kwa muda gani labda mpaka uchaguzi mkuu unaofuatia labda?
 
Naomba kufahamu, iwapo raisi asipo kuwepo madarakani kwa namna yoyote ile makamu wake ndie anaepaswa kua raisi labda? Na anakua hivyo kwa muda gani labda mpaka uchaguzi mkuu unaofuatia labda?
Swali zuri, umeuliza ndani ya mada.
 
Naomba kufahamu, iwapo raisi asipo kuwepo madarakani kwa namna yoyote ile makamu wake ndie anaepaswa kua raisi labda? Na anakua hivyo kwa muda gani labda mpaka uchaguzi mkuu unaofuatia labda?
Naamini tupo wengi tusiofahamu hili, binafsi nitashukuru kupata majibu na kuongeza ufahamu..
 
Makamu wa rais kwa mujibu wa katib a ya Tanzania ataapishwa kua rais pale tu rais atakapo fariki au kuthibitishwa kua hawezi kuendelea na kazi Yake ya urais kutokana na maradhi au ugonjwa wa akili na Mara baada ya makamu wa rais kuapishwa atateua jina ambalo litachukua nafasi ya umakamu wa rais kutoka chama chake na atathibitishwa na bunge__ ilitokea rais alifariki akiwa ametawala Zaid ya miaka 3 ktk muhula wake wowote wa urais Basi makamu wa rais ataruhusiwa kugombea Mara mbili ktk chaguz kuu Ila ikitokea rais alietoka madarakan alitawala chin miaka 3 ktk muhula wake basi makamu wa rais akihitaj kugombea atagombea muhula mmoja tu ...nawasilisha maada
 
49b648ac3ac7424b89367ab643ad3abc.jpg

Naomba kufahamu, iwapo raisi asipo kuwepo madarakani kwa namna yoyote ile makamu wake ndie anaepaswa kua raisi labda? Na anakua hivyo kwa muda gani labda mpaka uchaguzi mkuu unaofuatia labda?
 
Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki.

Waziri Mkuu awe Mkenda au Kimei kuendana na kama Makamu wa Rais atakuwa Mprotestanti au Mkatoliki.

Kabudi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu anaweza kuwa Mkenda.

Au Lukuvi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Kimei akawa Waziri Mkuu.

Au combination nyingine nzuri za Makamu wa Rais Mkatoliki na Waziri Mkuu Mprotestanti au Makamu wa Rais Mprotestanti na Waziri Mkuu Mkatoliki.

Bunge ndio liwe uwanja mkuu wa kufanya maamuzi haya, kwasababu uwiano wa kidini ndani ya Kamati Kuu ya CCM, hauendani na hali halisi nchini.

Halafu in the future, baada ya Rais Samia kumaliza vipindi vyake vya uongozi, tujaribu kuwa na Rais Mprotestanti, kwasababu Tanzania haijawahi kuwa na Rais Mprotestanti.

Ushauri huu usipofuatwa hakuna tatizo lolote. Maisha yanaendelea kwa amani na utulivu.
 
Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki.

Waziri Mkuu awe Mkenda au Kimei kuendana na kama Makamu wa Rais atakuwa Mprotestanti au Mkatoliki.

Kabudi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu anaweza kuwa Mkenda.

Au Lukuvi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Kimei akawa Waziri Mkuu.

Au combination nyingine nzuri za Makamu wa Rais Mkatoliki na Waziri Mkuu Mprotestanti au Makamu wa Rais Mprotestanti na Waziri Mkuu Mkatoliki.

Bunge ndio liwe uwanja mkuu wa kufanya maamuzi haya, kwasababu uwiano wa kidini ndani ya Kamati Kuu ya CCM, hauendani na hali halisi nchini.

Halafu in the future, baada ya Rais Samia kumaliza vipindi vyake vya uongozi, tujaribu kuwa na Rais Mprotestanti, kwasababu Tanzania haijawahi kuwa na Rais Mprotestanti.

Ushauri huu usipofuatwa hakuna tatizo lolote. Maisha yanaendelea kwa amani na utulivu.
We bwege nchi yetu aiendeshwi kwa udini wala ukabila.bali inaendeshwa kwa katiba.yoyote achaguliwae ni sawa tu.shenz kabisa.
 
We bwege nchi yetu aiendeshwi kwa udini wala ukabila.bali inaendeshwa kwa katiba.yoyote achaguliwae ni sawa tu.shenz kabisa.
Sijasema kwamba nchi ina endeshwa kwa udini au ukabila. Najua kwamba serikali ya Tanzania haina dini wala ukabila. Ila jaribu usiwe too optimistic about human nature, theory inaweza kuwa tofauti na practice.
 
Back
Top Bottom