Picha: Manhattan ya Sinza(crib) ya Martin Kadinda

Mi mda wa kuvaa sina mwenzangu , ntapata wapi kwanza uo mda? Na umbea ntapiga saa ngapi na hayo mambo ya selfie ntajipiga saa ngapi? Hayo mambo mi tupa kule apa umbea tu

Hhhhhhaaaaaa sasa binamu we hua unatupia nini sasa
 
alikua close sana na jack cliff cjui kama anampango wowote wa kumsaidia huko macau??? alafu jack cliff aliwai kupost akifa kila kitu aulizwe martin kadinda nn siri ya huo msemo wa jack cliff???
 
alikua close sana na jack cliff cjui kama anampango wowote wa kumsaidia huko macau??? alafu jack cliff aliwai kupost akifa kila kitu aulizwe martin kadinda nn siri ya huo msemo wa jack cliff???

Ni kamsemo tu hako hata mi naweza andika nikifa aulizwe fulani
 
Ni kamsemo tu hako hata mi naweza andika nikifa aulizwe fulani

Aulizwe warumi

lolowapi kanitumia hii picha kwa pm eti ananirusha roho mlikuwa nae jana viwanja mnajiachia, kwani mlikuwa wapi binamu? Ndo maana huonekani siku izi
 

Attachments

  • 1411036329587.jpg
    44 KB · Views: 234
Last edited by a moderator:
Aulizwe warumi

lolowapi kanitumia hii picha kwa pm eti ananirusha roho mlikuwa nae jana viwanja mnajiachia, kwani mlikuwa wapi binamu? Ndo maana huonekani siku izi

Hhhhhaaaaaaaaaaaa yaan lolowapi ndio kafupi hivyooo kanalingana na jambia lo
 
Last edited by a moderator:
Watu wafupi ndio walivyo, wakorofi kiama,

Yaan huyu kifupi nyundo achana nae anataka akukasirishe ili ule ban halaf kenyewe hakatukani ng'o inabidi umuoge maatope
 
Last edited by a moderator:
Yaan huyu kifupi nyundo achana nae anataka akukasirishe ili ule ban halaf kenyewe hakatukani ng'o inabidi umuoge maatope

Sasa ivi mbona nawapotezea, kuna mtu nae kanifungulia thread uko ya ajabu ajabu anatak nimtukane nile ban mbona kafeli
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…