warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
MWANAMITINDO maarufu Bongo , Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wamenaswa chobingo wakiwa katika pozi tata. Tukio hilo lililoibua maswali mengi yasiyokuwa na majibu lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Klabu ya 71 , Tegeta - Kibaoni jijini Dar kulipokuwa na shoo ya kuukaribisha mwaka iliyoandaliwa na Kampuni ya Endless Fame .
Mwanamitindo maarufu Bongo , Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wakiwa kwenye pozi tata. "Mh jamani huyu Aunt si ana mume ? Halafu si ana kibuzi chake kingine ? Huyu Martin naye imekuwaje tena , " alisikika jamaa mmoja ukumbini humo.
Mwanamitindo maarufu Bongo , Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wakiwa kwenye pozi tata. "Mh jamani huyu Aunt si ana mume ? Halafu si ana kibuzi chake kingine ? Huyu Martin naye imekuwaje tena , " alisikika jamaa mmoja ukumbini humo.