damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Akivua nguo ndo unaweza kuzimia..ana simi kama dole gumba lililotoka ukucha kwa kujikwaa
Mhhh naona madame kachoka kwelikweli!
daah ila huyu wema ni mbaya basi tu.
Sema ww mi nitaonekana nina wivu!
To be honest sijawahi ona uzuri wake
Aunty ni mzur kuliko wema
Hahaaa chezea zarina ww
Ha ha ha sema ustar ndio una mbeba.
Haswaaaa
Wow!I miss you my......