Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya hadhara, wanasiasa mbalimbali wamejitokeza kufanya mikutano hiyo nchi nzima.
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saashisha Mafuwe akiungurumisha mkutano wa hadhara jimboni mwake mbele ya umati wa wananchi, hii ilikuwa mchana wa tarehe 13/07/2023.
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saashisha Mafuwe akiungurumisha mkutano wa hadhara jimboni mwake mbele ya umati wa wananchi, hii ilikuwa mchana wa tarehe 13/07/2023.