Picha: Mchungaji Msigwa akiwa Dkt. Musukuma

Msukuma kawa Dr lini?na ni udokta wa fani gani?
 
Vibabu vijana vimekomaa km ngozi ya goti
 
Hakuna kutupiana maneno ya makasiriko!
Uvumilivu na kuvumiliana ni nguzo muhimu sana kwenye kukuza demokrasia
Umesema ukweli kabisa sio siasa tu hata ubinadamu wake pia.
 
Ni haki yake ya msingi kutoka chama kimoja cha siasa kwenda kingine.

Thibitisha utapeli wake?
Hakika ni haki yake kabisa, ila ningependa ajikite zaidi kutangaza sera za CCM kuliko kila kukicha kuiongelea CDM. Kwani kwa mazingira aliyohama hapaswi kupoteza muda kukiongelea kila mara.
 
Hakika ni haki yake kabisa, ila ningependa ajikite zaidi kutangaza sera za CCM kuliko kila kukicha kuiongelea CDM. Kwani kwa mazingira aliyohama hapaswi kupoteza muda kukiongelea kila mara.
Mke ukimwacha ni jambo la kuendelea na huko uliko kwenda ukimsema sema na kumtizama anafanya nini tutasema bado unampenda,nimewaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…