Picha: Mlinzi mkuu wa Diamond

Picha: Mlinzi mkuu wa Diamond

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
HOTELIN TO JUKWAANI-.jpg
UWANJA WA NDEGE KENYATTA TO DAR.jpg
ALL PICTURES BY @heaven on desert
instagram @ kifesi
official diamond's
blogger and photographer
 
Mmh haya kweli maendeleo kama ulaya vile....
 
Kwahiyo foamond akiwa anafanya vyake ndani jamaa anakua anaskizia utamu nje
 
Hao walinzi wao hata hawaaminiki,yule wa dully sykes wanayemuita Arafat Ngumi jiwe,watoto wadogo wa kitaa wamemfanyia yao mixer kumrekodi mpaka wakamtupia youtube.
Miili mikubwa ila wacameron.

"Nlikiwepo":bolt:
 
Alafu nimeanza kuhisi diamond kweli ni freemason kama watu wasemavyo,nilikuwa namchukua lkn siku hizi ghafla nimekuwa shabiki wake

whats the point behind ya kuwa na id mbili??wewe ulete mada tena wewe uchangie kwa id nyingine it doesnt make sense.kuwa na id moja tu au kama umeamua kuipiga chini h.o.d basi acha upromote jina lako.
 
i want you to be a gentlemen
Najua unachokitaka..maana sio bure ukaning'ang'ania hvyo mwanaume mwenzio. Kama unatak niwe gentleman basi wewe utakuwa lady halafu utajua kitakachotokea
 
Swali la kizushi does he realy need kuwa na baunsa wake huyo all the time,coz sikumbuki jay z,michael jacksona wala akon lini nimewaona bodyguards zao.
 
Swali la kizushi does he realy need kuwa na baunsa wake huyo all the time,coz sikumbuki jay z,michael jacksona wala akon lini nimewaona bodyguards zao.

Wapo sema tu waulaya wanakuwa invisible...hawaonekani. 😉

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Back
Top Bottom