hahaa jf bwanaUnashangaa nini hujui thamani ya huyo mwanamke nenda kwa Irene Uwoya huko
sure mkuu"... akili za genye tu ndio zilizo msukuma ...Hakyanani jamaa akimaliza bao la kwanza atazijutia sana mali zake.
Khe khe khe khe khe khe khe. Inauma aiseeeSiyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
N bao lenyewe halina utamu kwa bint bikrasure mkuu"... akili za genye tu ndio zilizo msukuma ...
Acha kabisa ..umesema kweli ni usumbufu mtupuN bao lenyewe halina utamu kwa bint bikra
Wadinka sio wabantu. Ni wanilotes. Soma Zaidi hapaHana hata shape ya kibantu
Wamemuwahi,angechelewa kidogo kufikisha miaka 18 wasela wangekwisha fumua bikra sikunyingiiiHuyo dawa yake mimba tu.
Acheni kudanganya watu na vistory vya kutunga! Leta source ya habari tujiridhishe siyo mnatulisha matango pori watu wazima. Hata kwa mtazamo tu wa kawaida kwa kuangalia picha hicho kitu hakiwezekani kwa MA hali yote hiyo, ni uzushi tu!!
Ni chai,Hii habari ipo kwa lugha moja tu ya kiswahili? Sioni vyanzo vingine
Wewe unaangalia urembo wa makeup?huyo dada ana urembo gani? mbona sura kama haisomeki hivi hata kwa jokate hafiki
Mrembo huyo, Nyalong Ngong Deng (17) kutoka eneo la Awerial, alikuwa na wachumba sita waliokuwa wanamtaka, ambapo kila mmoja alikuwa tayari kutoa mahali kubwa ikiwa ni pamoja na shilingi milioni moja za Kenya ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Tanzania.
Akiwa amekaa kwa utulivu kando ya mumewe, tajiri mkubwa aitwaye Kok Alat katika ukumbi wa Freedom Hall jijini Juba, Ijumaa iliyopita, Novemba 9, binti huyo wa kabila la Dinka aliibua mshangao kwa watu waliokuwa katika sherehe hiyo.
Kulingana na utamaduni wa Dinka na Nuer, bei ya mahari kwa kawaida ni ng'ombe 20 hadi 40 hivyo binti huyo amendika historia ya pekee katika kabila lake kwa kuolewa kwa mahari ya ng'ombe 520 na vitu vingine vya thamani.
View attachment 929814
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja jf waje wakupandie dau la mahariMaajabu ya dunia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sanchoka atatolewa mahari ya madebe mawili ya kahawa tu plus kuku wa kisasa 100 tu unabeba mzigoHuyu binti ni nzuri wacheni utani, na vile mahari vyenu vya million moja, mfyuuuuuuux, huyo ndo mwanaume sasa
Sijui sanchi na lichura lake atatolewa mahari kuku wangapi?
Mkuu punguza hasira...Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
HahahahahaSiyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
Kama picha ya avatar ni yako, Smart anafaidi aisee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]