Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
I love thisSanaaa wakina julliet,mbia(alivyoenda kwa wazazi wa juliet jamaa akajifanya eti n "proffesor wa mathematics".
Mbwembwe zotee kumbe hata mahari kapewa na juliet ili aje kumuoa.
Kwani wewe unataka mahari sh ngapi?Nimetoa mfano tu usijal
Usimbanie mwenzio wewe binti. Au kwa sababu hana chura kama wewe?Kwahiyo huyo mrembo? Rangi yake nzuri ila vingine naguna tuu
Usimbanie mwenzio wewe binti. Au kwa sababu hana chura kama wewe?
Namhala SHIMBA YA BUYENZEIngekuwa zamani tungeweza kupambana.
Nunene nalemaga gete namhala. Ng'ombe magana abili? Biya gete nulu abize alinamadako matale gudimadandali [emoji16][emoji16][emoji16]
Msaafu tu mahari yangu sitaki mbwembweKwani wewe unataka mahari sh ngapi?
Mimi nilikuwa Abessolo [emoji3]Sanaaa wakina julliet,mbia(alivyoenda kwa wazazi wa juliet jamaa akajifanya eti n "proffesor wa mathematics".
Mbwembwe zotee kumbe hata mahari kapewa na juliet ili aje kumuoa.
Nakutumia miwili sasa hivi tumalize huu mchezo. Au unataka nikosemee na sura kabisa?Msaafu tu mahari yangu sitaki mbwembwe
She is beautiful I'll matunzo tu huyoo na walio uona uzuri wake ni hao waliokubali kulipa Ngombe zaidi ya Mia 5Wamelogwa hao.. Anakitugani cha kutisha uyo binti
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] tuma tu haina shidaNakutumia miwili sasa hivi tumalize huu mchezo. Au unataka nikosemee na sura kabisa?
Huyu ndiyo mrembo sasa. Watu kama hawa ni nadra sana kuwapata usikute hapo alipo ni bikra
Hana hata shape ya kibantu
Kafanana na baba yake