Tanganyika Tunanunua MAGARi CHINA? MABOX Yaani PIKIPIKI ni kama VILE TRENI.?
Inategemea na speed aliyokuwa akiendesha, huenda alimkwepa mwenda kwa pikipiki akavamia kitu kigumu zaidi kama ukuta au nguzo maana taarifa haijaeleza kwa kina.
Halafu kuweka mambo sawa tu, China hakuna assembly plant ya gari za Toyota
nngu007
Wee kijana mbona unapenda sana mambo ya uzushi na kupotosha? What's such a big deal kama car parts za Toyota zinatengenezwa China?
Hata kama Toyota Prado ingekuwa assembled China using 100% Chinese made parts, so what?
Limbukeni, watu wanaendesha magari hapa mjini hata miaka kumi bila kupata ajali, leo hii kijana kanunua gari juzi tu, leo keshakula mzinga!
sema weye mwaya!temea mate mbali mwana,ajali haina muda ndugu
sema weye mwaya!
BTW kababy kanaendeleaje?
umeona ehh?kababy kapo poa,kesho tunawatoa rasmi na *****,waswahili wanasema arobaini thou sisi hatuna hiyo!!kutakuwa na supu,pilau kwa watu wakaribu kama wewe,karibu sana!!