Picha: Msanii wa bongofleva akiwa amepozi na ametokelezea

Picha: Msanii wa bongofleva akiwa amepozi na ametokelezea

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
20220405_110445.jpg
 
Jamaa atakuwa na tatizo la ngozi/chunusi. Tangu enzi hana hela

Halafu tatizo la ngozi inaonekana tiba yake sio uhakika. Maana washua kibao linawasumbua ambao unaamini hawajakosa fedha ya tiba.

Halafu linaibuka kampuni la lotion, linatafuta wadada wenye ngozi nyororo wanawatumia kufanya matangazo. Kana kwamba mng'aro wao ni wa lotion hiyo mpya.

Sio siri, ni levora. Levora peke yake? Ndio.
 
Back
Top Bottom