Picha: Msanii wa bongofleva akiwa amepozi na ametokelezea

Jamaa atakuwa na tatizo la ngozi/chunusi. Tangu enzi hana hela

Halafu tatizo la ngozi inaonekana tiba yake sio uhakika. Maana washua kibao linawasumbua ambao unaamini hawajakosa fedha ya tiba.

Halafu linaibuka kampuni la lotion, linatafuta wadada wenye ngozi nyororo wanawatumia kufanya matangazo. Kana kwamba mng'aro wao ni wa lotion hiyo mpya.

Sio siri, ni levora. Levora peke yake? Ndio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…