Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuita lini?Haukuona picha za uchi alizoanika? Akaitwa na HR na kupigwa stop then ndio hivo unavoyasikia.
Eeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh maskini pole diva![]()
Hivi Diva ni lini ataweka picha yake isiyo na filters jamani?
[emoji13] [emoji13] [emoji14] shemeji bana...Hivi Diva ni lini ataweka picha yake isiyo na filters jamani?
Yani Diva OG bila kumuonea kwa watu wengine waliompiga picha haiwezekani kwenye a/c yake!
Kweli shem,sijawahi kuona picha ya Diva isiyo na filters kwenye a/c yake.[emoji13] [emoji13] [emoji14] shemeji bana...